USIYO YAJUA KUHUSU VITA ZA VIETNAM
Baada ya Vita vya pili vya dunia, Marekani ikawa nchi yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi ulimwenguni, na nchi hiyo iliamini kwamba jeshi lake pia lilikuwa na nguvu zote. Lakini baada ya kutumia pesa nyingi na nguvu kazi katika Vita vya Vietnam kwa miaka minane tu, Marekani ilishindwa na vikosi vya Vietnam Kaskazini na washirika wao wa msituni, Viet Cong. Katika kuadhimisha miaka 50 ya kuwaondoa wanajeshi wa mwisho Marekani kutoka Vietnam (Machi 29, 1973), BBC iliwauliza wataalam wawili na wasomi kujua ni kwa nini Marekani ilipigwa na kushindwa katika vita hivyo. Vita baridi ilikuwa katika kilele chake. Mamlaka za ulimwengu za Kikomunisti na za kibepari baadae zilikabiliana. Lakini kushindwa kwa Wafaransa hakukumaliza mzozo katika nchi hiyo. Waliogopa kwamba ikiwa Vietnam itakuwa ya kikomunisti kabisa, ukomunisti ungeenea hadi nchi jirani. Na hilo ndilo lililoiingiza Marekani kwenye mzozo huo uliodumu kwa mwaka mmoja na kugharimu maisha ya mamilioni ya watu Kwa hiyo jeshi lenye nguvu z...




.jpeg)


.jpeg)

