Jesus Filme
MJUE "BRIAN DEACON" ALIYEIGIZA FILAMU YA YESU, FILAMU MAARUFU ZAIDI ULIMWENGUNI. Watu wengi ambao wametokea kuangalia sinema ya maisha ya Yesu, hupata taswira ya kiimani kwamba muingizaji huyu ni Yesu au kwa utamaduni wa utayarishaji wa sinema mbali mbali kwamba hata kama sio Yesu alau walimtumia muigizaji anayemfanana. Kwa upande mmoja sinema hii imeleta matokeo chanya kwa mamilioni ya watu na wengi wakibadili maisha yao na kumfuata Yesu. Hata hivo kila zuri halikosi changamoto yake. Baadhi hata anapokuwa kwenye maombi huvuta picha hii kana kwamba anamuona Yesu. Huyu sio Yesu bali kama nilivosema ni muigizaji au mcheza sinema jina lake anaitwa Brian Deacon ni mwingereza. Alizaliwa tarehe 13/02/1949 Oxford nchini Uingereza akiwa ni mtoto wa pili katika familia. baba yake alikuwa fundi makanika na mama yake alikuwa Unesi. Yesu hakuoa lakin huyu alikuwa na mke. Ndoa yake ya kwanza alimuoa Bi Rula Lenska ingawa waliachana baadae na akaoa mke mwingine huyu wa kwanza walifanik