Osoufia in London

Karibu kuitizama filamu hii kali ilio chezwa na Mwigizaji mkubwa wa vichekesho nchini Nigeria Nkem Owoh alie igiza Osuofia in London sinema hii aliitowa mnamo mwaka 2003

Hadithi hii inazungumzia osoufia kwamba alikua na kakaake jijini London

Kakayake huyo inasadikika kwamba alikua tajiri mkubwa sana alipofariki rafiki zake na jamaazake waenda Nigeria kikijijin kwao ili kumpasha habari mdogomtu na aende jijini londan wingereza akaridhi mali za kakaduguyake

Osoufia alipofika londan kweli alikua mshamba sana alikua nimtu wakijijini tu na hio ilikua nimarayake ya kwanza kufuka jijini ila alifanyikiwa Aliambiwa London kuna baridi sana ko alienda amevaa makoti kama ma4 na alipofika londan alikua komedia sana

Kilicho washangaza wengi alirudi akiwa amerithi mke wa kakayake, mwanamke alikua wakizungu na alipofika Nigeria alifunga nae ndoa ,na zile mali za urithi waka endelea kuzitumia.

pia kuna part 2 ambayo inaonyesha maisha walio endelea kuyaishi nchini Nigeria baada ya ndoa ,usije uka zikosa hizi filamu 2 ziko vizuri sana.

Zinapatika ndani ya makataba yetu ya Amazon online video library, tena zikiwa HD quality kabisa na kumbuka zime tafsiriwa na kuchombezwa maneno matamu na Hayati makandara lufufu.





Comments

Popular Posts